Sorry, no results found matching" Nobert Muna "
Tip : Try to reset the refine filter
Matching Titles
- HARUSI
- Vigelegele, vifijo na cherekochereko za kina mama wakiimba mamie mwana so ukaule mgeni kengia ndizo zinazokamilisha kilele cha harusi ya Rahman, mtoto wa Alhaj Mwinyi Karim kwa Shufaa binti wa Mwinyi Sitaki Shari.
- Published : 2017
- Language : Swahili
- GUBU LA MUME
- Kwa mume kuna ngodo Mwanahamisi hakuna uhondo. Wala hakuna utamu kuna balagham! Ndivyo alivyoniambia somo yangu Mama Muhidini kabla sijaolewa.
- Published : 2023
- Language : Swahili
- NAGONA
- Nagona ni riwaya fupi ya kifalsafa na kibaadausasa inayoibua fikra juu ya falsafa na maana ya uhai, maisha, dhamiri na hata fikra yenyewe. Mhusika kiini wa novela hii anajikuta katika mazingira ya ajabuajabu katika nyakati tofauti tofauti.
- Published : 2023
- Language : Swahili
- ORODHA
- Steve Reynolds alizaliwa mwaka 1960 nchini Uingereza. Amekuwa mwalimu wa Tamthiliya na Michezo ya kuigiza kwa miaka 21 na ameongoza warsha nyingi pamoja na matamasha mbalimbali katika sehemu nyingi duniani.
- Published : 2022
- Language : Swahili
- NGUZO MAMA
- Penina Muhando (Pia Penina Mlama) ni mwandishi mbobevu na mwanazuoni wa Kiswahili hususan katika utanzu wa tamthiliya. Ameandika tamthiliya kama vile Heshima Yangu (1974), Pambo (1975), Lina Ubani (1984) na Mitumba Ndui (1989).
- Published : 2022
- Language : Swahili
- MORANI
- Tamthiliya ya Morani inasawiri misukosuko ya kisiasa na kiuchumi nchini Tanzania katika miaka ya 80.
- Published : 2019
- Language : Swahili
- UNONO
- Starehe za mjini zinamfanya kijana Unono asahau alikotoka. Unono anakumbatia ugeni hata kufikia hatua ya kuikana familia yake. Wazazi wanamuachia radhi na hatimaye Unono anakutana na yanayomrudisha nyumbani. Je, atapokelewa?
- Published : 2023
- Language : Swahili
My Cart