 
                                            
                        
                            Harakati za Ukombozi
                        
                        
                        
                        
                        
                        
                        
                                    Paperpack
                                
                            Tamthiliya hii inaangazia changamoto za nchi nyingi za Afrika miaka
michache baada ya kupata uhuru. Ingawa mkoloni alifahamika
bayana kama adui aliyewanyima maendeleo na kudumisha uonevu,
miaka michache tu ya utawala huru, sumu ya kiti cha utawala
inawaponza viongozi wao na kuwafanya nao kuwa kama watesi wa
mwanzo. Jamii inataka ukombozi wa pili japo ni ukombozi mgumu
kuupata kutokana na kuzongwa na maslahi binafsi ya viongozi wao.
This book is categorised in
                            
                                Community Reviews
                            
                            
                            
                                                            No reviews , Be the first to write a review
                                  Related Books
                                
                                        
                                        
                                    
                            
                                Book Details
                            
                            
                            - ISBN : 9789912 755178
- Publication Date : May 2025
- Language : Swahili
- Number of Pages : 40
- Cover Format : Paperpack
- Edition : First Edition
 
  My Cart
                                My Cart