 
                                            
                        
                            Chungu Tamu
                        
                        
                        
                        
                        
                        
                        
                                    Paperback
                                
                            CHUNGU TAMU ni mashairi yanayouimulika jamii na kuichunguza kwa makini. Mashairi haya ni fasihi changanuzi yanaikosoa jamii yetu na kutoa mapendekezo mwaafaka dhidi ya mapungufu yaliyopo ambayo mwandishi anaamini kuwa iwapo yatazingatiwa, wananchi wataondokana na uchungu na kuonja utamu ambai malengo yao na ya viongozi waaminifu.
                            
                               Taarifa za kitabu
                            
                            
                            - ISBN : 9789987701780
- Tarehe ya kuchapishwa : December 2017
- Lugha : Swahili
- Idadi ya kurasa : 60
- Aina ya kava : Paperpack
- Toleo : First Edition
Jamii ya kitabu hiki ni
- Masomo :
- Swahili
- Daraja :
- Form Three
- Form Four
- Form Five
- Form Six
                            
                                Maoni kutoka kwa jamii
                            
                            
                            
                                                            Hakuna maoni , Kuwa wa kwanza kuandika maoni
 
  Manunuzi yangu
                                Manunuzi yangu