 
                                            
                        
                            Insha na Mashairi
                        
                        
                        
                        
                        
                        
                        
                                    Paperback
                                
                            Maisha ya binadamu yamejaa changamoto nyingi. Binadamu hana budi kupambana na kutatua changamoto hizo. Katika kitabu hiki msanii anatoa mifano mbalimbali ya changamoto na jinsi ya kupambana nazo. Insha na mashairi vimejaa maadili mbalimbali ambayo binadamu akiyazingatia ataishi maisha yenye furaha na amani tele.
                            
                               Taarifa za kitabu
                            
                            
                            - ISBN : 9789976583861
- Tarehe ya kuchapishwa : June 2023
- Lugha : Swahili
- Idadi ya kurasa : 152
- Aina ya kava : Softcover
- Toleo : First Edition
Jamii ya kitabu hiki ni
                            
                                Maoni kutoka kwa jamii
                            
                            
                            
                                                            Hakuna maoni , Kuwa wa kwanza kuandika maoni
                                  Na
                                    
                                        Shaaban Robert
                                    
                                
                                    
                                    
                                 
  Manunuzi yangu
                                Manunuzi yangu
                             
                                                             
                                                            