 
                                            
                        
                            Jikumbushe Lugha Darasa la 5, 6 & 7
                        
                        
                        
                        
                        
                        
                        
                    Kitabu hiki kina mkusanyiko wa maswali zaidi ya 550 ya Kiswahili na Kiingereza toka mitihani ya Taifa ya Darasa la Saba tangu mwaka 1999 hadi 2010 pamoja na majibu yaliyoandaliwa kwa ufasaha mkubwa.
Kitabu hiki kimeandaliwa kwa ajili ya wanafunzi wa shule za mtaala wa Kiswahili pamoja na wale wa shule za mtaala wa Kiingereza (English Medium).
                            
                               Taarifa za kitabu
                            
                            
                            - ISBN : 9789987932191
- Tarehe ya kuchapishwa : October 2012
- Lugha : Swahili
- Idadi ya kurasa : 196
- Aina ya kava : Paperpack
- Toleo : Second Edition
Jamii ya kitabu hiki ni
- Daraja :
- Primary Five
- Primary Six
- Primary Seven
                            
                                Maoni kutoka kwa jamii
                            
                            
                            
                                                            Hakuna maoni , Kuwa wa kwanza kuandika maoni
                                  Na
                                    
                                        Lucy Massawe
                                    
                                
                                    
                                    
                                 
  Manunuzi yangu
                                Manunuzi yangu
                            