 
                                            
                        
                            Jikumbushe Uchambuzi Sekondari
                        
                        
                        
                        
                        
                        
                        
                                    Paperback
                                
                            Kitabu hiki kina mkusanyiko wa maswali ya Fasihi kutoka mitihani ya taifa toka mwaka 1995 hadi mwaka 2012 na majibu yaliyoandikwa kwa usahihi, ustadi na ufasaha mkubwa.
Dondoo muhimu za somo la Kiswahili hususan kipengele cha Fasihi zitakazowasaidia wanafunzi wa kidato cha 3 na cha 4 katika marudio yao na katika ujibuji wa maswali ya mitihani.
                            
                               Taarifa za kitabu
                            
                            
                            - ISBN : 9789987701043
- Waandishi : Eliupendo W. Mbise Ayoub John
- Tarehe ya kuchapishwa : September 2013
- Lugha : Swahili
- Idadi ya kurasa : 189
- Aina ya kava : Paperpack
Jamii ya kitabu hiki ni
                            
                                Maoni kutoka kwa jamii
                            
                            
                            
                                                            Hakuna maoni , Kuwa wa kwanza kuandika maoni
                                  Na
                                    
                                         Eliupendo W. Mbise
                                    
                                
                                    
                                    
                                 
  Manunuzi yangu
                                Manunuzi yangu
                             
                                     
                                                             
                                                            