 
                                            
                        
                            Kabrasha la Rais
                        
                        
                        
                        
                        
                        
                        
                                    Paperback
                                
                            Rais Kassim Mabrouk wa Tanzania anaingia kwenye mgogoro mkubwa na baadhi ya wajumbe wa chama chake, Chama Mahalia (CM). Genge la matajiri ndani ya chama linapanga mbinu chafu dhidi yake. Kwa njia za siri, Rais anaigundua mipango yote, anatengeneza kabrasha na kumkabidhi Tamim, mtu wake wa karibu katika duru za usalama
                            
                               Taarifa za kitabu
                            
                            
                            - ISBN : 9789976583533
- Tarehe ya kuchapishwa : January 2023
- Lugha : Swahili
- Idadi ya kurasa : 264
- Aina ya kava : Paperpack
- Toleo : First Edition
Jamii ya kitabu hiki ni
- Masomo :
- Swahili
                            
                                Maoni kutoka kwa jamii
                            
                            
                            
                                                            Hakuna maoni , Kuwa wa kwanza kuandika maoni
                                  Na
                                    
                                        Wilbard Makene
                                    
                                
                                    
                                    
                                 
  Manunuzi yangu
                                Manunuzi yangu
                             
                                                             
                                                            