 
                                            
                        
                            Morani
                        
                        
                        
                        
                        
                        
                        
                                    Paperback
                                
                            Katika kiwango cha uhalisia, tunamwona Dongo, mhusika mkuu, akipambana na
wahujumu uchumi ili kuwakomboa wanyonge. Lakini ghafla nyota iliyong’aa na
kuwapa tumaini maskini inazima. Dongo anafariki dunia! Kwa wanyonge
ukombozi wa nchi yao unageuka ndoto ya kukatisha tamaa. Kuhusu hali katika
dunia ya Kuzimuni tunamwona Dongo katopea kwenye mdahalo wa kifalsafa
akitafakari na kutathmini yale yaliyomfika na kumtoa roho ghafla.
                            
                                Maoni kutoka kwa jamii
                            
                            
                            
                                                            Hakuna maoni , Kuwa wa kwanza kuandika maoni
                                  Na
                                    
                                        Emmanuel Mbogo
                                    
                                
                                    
                                    
                                 
  Manunuzi yangu
                                Manunuzi yangu
                             
                                                             
                                                            