
Hidaya ya Penina Muhando ni mkusanyiko wa kazi
mujarabu za mwandishi hodari wa tamthiliya, Profesa
Penina Oniviel Muhando (Pia, Penina Mlama), ambaye,
kwa mchango wake adhimu katika lugha ya Kiswahili,
hususan utanzu wa tamthiliya, anastahili kutambuliwa
kama Mama wa Tamthiliya ya Kiswahili.
Mbali ya kuwa tunu zenye kubeba masimulizi ya
historia, kra, desturi na mapito ya jamii, kazi hizi
zimetoa mchango mkubwa katika kukuza matumizi na
umaarufu wa lugha ya Kiswahili duniani.
This book is categorised in
No reviews , Be the first to write a review
- ISBN : 9789912752405
- Publication Date : May 2025
- Language : Swahili
- Number of Pages : 257
- Cover Format : Paperpack
- Edition : First Edition