Kitabu hiki kimebeba wasifu na simulizi za safari za mashujaa 25 ambao waliamua kwa makusudi kuwekeza taaluma, falsafa na rasilimali zao kutetea na kuendeleza Kiswahili tangu kilipokuwa lugha changa hadi kuwa lugha ya Kiafrika yenye mafanikio makubwa zaidi duniani na kielelezo cha ukombozi wa kiutamaduni. Kwa kupitia simulizi zao, tutaamini kuwa ... Lugha ni chombo cha thamani cha watu na cha kubeba mawazo, historia na ndoto zao. Kwamba, hata iwe dhaifu au yenye watumiaji wachache namna gani, lugha inastahili kuaminiwa, kutumika na kuachwa ikomae ili iwasilishe karama zao.
This book is categorised in
No reviews , Be the first to write a review
- ISBN : 9789912752900
- Publication Date : July 2026
- Language : Swahili
- Number of Pages : 194
- Cover Format : Paperpack
- Edition : First Edition
My Cart