
Kabrasha la Rais
Paperback
Rais Kassim Mabrouk wa Tanzania anaingia kwenye mgogoro mkubwa na baadhi ya wajumbe wa chama chake, Chama Mahalia (CM). Genge la matajiri ndani ya chama linapanga mbinu chafu dhidi yake. Kwa njia za siri, Rais anaigundua mipango yote, anatengeneza kabrasha na kumkabidhi Tamim, mtu wake wa karibu katika duru za usalama
Taarifa za kitabu
- ISBN : 9789976583533
- Tarehe ya kuchapishwa : January 2023
- Lugha : Swahili
- Idadi ya kurasa : 264
- Aina ya kava : Paperpack
- Toleo : First Edition
Jamii ya kitabu hiki ni
- Masomo :
- Swahili
Maoni kutoka kwa jamii
Hakuna maoni , Kuwa wa kwanza kuandika maoni
Na
Wilbard Makene