Malkia Bibi Titi Mohammed
Paperback

Tamthilia hii inahusu Bibi Titi Mohamed. Titi alikuwa kiongozi shupavu aliyeupipgania uhuru wa Tanganyika kwa ujasiri mkubwa akiwa mwanachama wa TANU na kiongozi wa Umoja wa Wanawake. Wakati wanaume wengi walipokuwa wakiogopa kukata kadi za TANU, wakhofia kufukuzwa kazi na mkoloni, Titi aliwahamasisha wanawake kote nchini kuupigania uhuru wa Tanganyika

Emmanuel Mbogo

I write about swahili

Taarifa za kitabu
  • ISBN : 9789987701575
  • Tarehe ya kuchapishwa : June 2018
  • Lugha : Swahili
  • Idadi ya kurasa : 50
  • Aina ya kava : Paperpack
  • Toleo : First Edition

Jamii ya kitabu hiki ni
Maoni kutoka kwa jamii