
Mwalimu Rose
Paperback
Ambrose Mghanga amefanikiwa kuichora jamii katika kurasa na kuipa fursa ya kujitazama katika riwaya yake hii. Changamoto za ndoa na usaliti zimeakisiwa kisanaa na kutoa funzo kwa wanajamii juu ya masuala haya mtambuka yanayotukabili.
Taarifa za kitabu
- ISBN : 9789987371136
- Tarehe ya kuchapishwa : January 2023
- Lugha : Swahili
- Idadi ya kurasa : 137
- Aina ya kava : Paperpack
Jamii ya kitabu hiki ni
Maoni kutoka kwa jamii
Hakuna maoni , Kuwa wa kwanza kuandika maoni
Na
Ape Network