
Ngoma ya Mianzi
Paperback
Mzimu wa Watu wa Kale ni hadithi ya upelelezi ya kusisimua. Katika hadithi hii Bwana Ali apatikana katika mzimu wa watu wa kale akiwa ameuawa.
Je, nini asili ya mzimu huu wa watu wa kale? Ni nani aliyemwua Bwana Ali na kwa nini? Je, Bwana Msa na Spekta Seif watapambanua chanzo cha kuuwawa kwa Bwana Ali? Endelea kusoma kisa hiki uburudike na jicho la upelelezi la Bwana Msa, maswali ya kudadisi ya Najum na uhodari wa Spekta Seif kwa kutatua kesi hii.
Taarifa za kitabu
- ISBN : 9789987722075
- Tarehe ya kuchapishwa : January 2023
- Lugha : Swahili
- Idadi ya kurasa : 117
- Aina ya kava : Paperpack
- Toleo : Second Edition
Jamii ya kitabu hiki ni
- Masomo :
- Swahili
Maoni kutoka kwa jamii
Hakuna maoni , Kuwa wa kwanza kuandika maoni
Na
M. M. Mulokozi