
Pepo ya Mabwege ni riwaya ya kitashtiti inayoangazia mazingira ya kisiasa, kijamii na kiuchumi barani Afrika katika miaka ya 1960 na 1970, baada ya vuguvugu la kudai uhuru na uongozi wa dola kutulia. Changamoto mpya ziliibuka na kutishia kuzamisha ndoto za uhuru zilizobeba matumaini ya wengi. Josina na Kalenga wanajifunga kibwebwe kupambana na ulaghai na ufisadi uliokithiri kwenye ngazi za juu za uongozi katika serikali mpya ya wazawa inayojibainisha kuwa serikali ya watu.
- ISBN : 9789912752177
- Tarehe ya kuchapishwa : October 2023
- Lugha : Swahili
- Idadi ya kurasa : 268
- Aina ya kava : Paperpack
- Toleo : Fourth Edition
Jamii ya kitabu hiki ni
- Masomo :
- Swahili
Hakuna maoni , Kuwa wa kwanza kuandika maoni