Found 293 matching results Viewing 85 - 96 of 293 matches Viewing 85 - 96 of 293 matches
- MWAFRIKA AIMBA
- Mwafrika Aimba ni diwani inayosawiri maisha ya mwanadamu. Mshairi ameonesha jinsi maisha yalivyo kwa Mwafrika. Anadokeza dhuluma, manyanyaso, unafiki, usaliti na maovu. Vilevile anawanasihi watu wote kutimiza wajibu wao.
- Published : 2023
- Language : Swahili
- UTUBORA MKULIMA
- Hii ni riwaya inayozungumzia maisha ya kijana aitwaye Utubora. Kama jina lake lilivyo, kijana huyu anajipambanua kuwa ni mtu jasiri, imara, mvumilivu, mwaminifu, mkweli na mwenye misimamo imara katika maamuzi yake.
- Published : 2023
- Language : Swahili
- SIKU YA WATENZI WOTE
- SIKU YA WATENZI WOTE ni riwaya ya kijamii inayojadili maisha ya wanadamu namna wanavyohusiana wao kwa wao na pia baina yao wao na Mungu.
- Published : 2023
- Language : Swahili
- INSHA NA MASHAIRI
- Maisha ya binadamu yamejaa changamoto nyingi. Binadamu hana budi kupambana na kutatua changamoto hizo.
- Published : 2023
- Language : Swahili
- UCHOCHORO WA TANZANITE
- Alex ni afisa usalama, anapenyezwa Wizara ya Madini kung’amua kinachoendelea katika upotevu tata wa mapato ya Taifa ndani ya biashara ya madini ya Tanzanite. Anaambulia taarifa kiduchu
- Published : 2023
- Language : Swahili
- MBIU YA MSWAHILI
- Kitabu hiki ni kielelezo cha utajiri mkubwa wa misemo, vionjo, simulizi na masomo yatoayo adili, burudani na uchokozi wa fikra kutoka katika lugha ya Kiswahili.
- Published : 2023
- Language : Swahili
- MWINYI NA MANYANI YA ADILI
- Tamthilia hii inaangazia hali ya maisha nchini Tanzania kabla na wakati wa utawala wa Rais wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi (Mhe). Tamthilia inaonesha Rais Mwinyi akipokea dola nchi ikiwa inaning’inia katika mtego mkubwa wa kifalsafa, kisiasa na kiuchu
- Published : 2023
- Language : Swahili
- KUMNG'OA NDULI
- Tamthiliya hii inaakisi awamu mbili za utawala wa Dikteta Idi Amin nchini Uganda. Awamu ya kwanza ni kuanzia mwaka 1971 alipomng’oa Milton Obote na kujitangaza rais wa maisha wa nchi ya Uganda.
- Published : 2023
- Language : Swahili
- DHIHAKA YA MUME
- Uvumilivu usioelezeka unagonga mwamba baada ya Marisa kutoweza kuendelea na penzi la manyanyaso la Maina. Dhihaka ya Mume ni riwaya inayoakisi maisha ya jamii iliyojaa matabaka, mila na desturi zilizopitwa na wakati, umasikini, mapenzi na usaliti.
- Published : 2023
- Language : Swahili
- SARAFU YA GAVANA
- Watu wasiojulikana katika nchi ya Weusi Kusini, wanapambana vikali kumshambulia Gavana nchi hiyo, bwana Bongo kwa lengo la kummaliza.
- Published : 2023
- Language : Swahili
- KIFURUSHI IKULU
- Rais Razak Wakil wa nchi ya Sirini anapata misukosuko ya kiusalama toka kwa genge lisilojulikana. Kwa kushirikiana na msaidizi wake, Koreshi Masufi, wanaamua kumtuma mjumbe wa siri kutafuta chanzo cha tatizo.
- Published : 2023
- Language : Swahili
- KABRASHA LA RAIS
- Rais Kassim Mabrouk wa Tanzania anaingia kwenye mgogoro mkubwa na baadhi ya wajumbe wa chama chake, Chama Mahalia (CM). Genge la matajiri ndani ya chama linapanga mbinu chafu dhidi yake.
- Published : 2023
- Language : Swahili
My Cart