Found 293 matching results Viewing 109 - 120 of 293 matches Viewing 109 - 120 of 293 matches
- UNONO
- Starehe za mjini zinamfanya kijana Unono asahau alikotoka. Unono anakumbatia ugeni hata kufikia hatua ya kuikana familia yake. Wazazi wanamuachia radhi na hatimaye Unono anakutana na yanayomrudisha nyumbani. Je, atapokelewa?
- Published : 2023
- Language : Swahili
- PENDO PEVU
- Matumaini ya wazazi wa kijana Vitto yanazimika ghafla mithili ya kibatari kilichopulizwa na upepo mkali. Haya yanajiri baada ya kijana wao, Vitto, kubadili uamuzi wake kuhusiana na kumuoa binti aliyechaguliwa na wazazi wake.
- Published : 2023
- Language : Swahili
- PAMBO
- Pambo ni kitabu kinachotoa mfano kamili wa dhamira mgongano unaowapata baadhi ya vijana wetu. Mwandishi ametumia mfano wa kijana Pambo kueleza tatizo hili kwa namna inayovutia.
- Published : 2023
- Language : Swahili
- NGOMA YA MIANZI
- Mbumi na Chulu wanasimama kidete katika harakati za kuikomboa jamii yao dhidi ya utawala katili wa Wajerumani. Licha ya udogo wa umri wao, vijana hawa wanaleta mabadiliko yasiyomithilika. Visa, mikasa na changamoto zinatawala safari yao. watafanikiwa?
- Published : 2023
- Language : Swahili
- MWALIMU ROSE
- Ambrose Mghanga amefanikiwa kuichora jamii katika kurasa na kuipa fursa ya kujitazama katika riwaya yake hii.
- Published : 2023
- Language : Swahili
- LINA UBANI
- Rinda Musekusi anatumia madaraka yake vibaya kwa kupalilia ukabila na kutumia ofisi za umma kwa maslahi yake binafsi.
- Published : 2023
- Language : Swahili
- KOSA LA BWANA MSA
- Kosa la Bwana Msa ni riwaya iliyopikwa kwa lugha ya kisanaa na kuivishwa kwa hekima za jamii kwa kuonesha nini hutokea mwanadamu anapovishwa sifa ya uungu ya kutokosea.
- Published : 2023
- Language : Swahili
- MAJI MANDIGA
- Simulizi hii inaakisi uhalisia wa changamoto za maji wanazokutana nazo wanawake hasa wanaoishi vijijini. Iwapo kutakuwa na kufanana kwa jina au tukio la aina yoyote basi haikuwa dhamira ya mtunzi na mwandishi.
- Published : 2023
- Language : Swahili
- KICHWAMAJI
- Riwaya ya Kichwa Maji ni Riwaya iliyoandikwa mwaka 1974 na E. Kezilahabi. Hii ni Riwaya ya Kisaikolojia kwa sababu inadodosa nafsi ya mhusika, fikra, hisia, mawazo, imani, hofu, mashaka, matumaini na matamanio yake binafsi na athari za mambo hayo kwake na
- Published : 2023
- Language : Swahili
- MOTO WA MIANZI
- Riwaya ya Moto wa Mianzi inahusu matukio yaliyofuatia kutekwa kwa Ngome ya Kalenga mwaka 1894. Mutwa Mukwava alikimbilia Kilolo. Mugoha Muhanzala...
- Published : 2023
- Language : Swahili
- GAMBA LA NYOKA
- Gamba la Nyoka ni riwaya inayoonyesha jinsi maamuzi ya kisiasa yasiyotafakariwa yanavyoweza kuwa na athari mbaya kwa wanyonge na wakulima.
- Published : 2023
- Language : Swahili
- SIMU YA KIFO
- Mzee Jacob anafariki ghafla akiwa nyumbani kwake. Uchunguzi unabainisha kuwa amefariki kwa kuvuta sigara yenye sumu. Siku chache baadaye, bintiye, Mary anapigwa risai.
- Published : 2023
- Language : Swahili
My Cart