
Kabrasha la Rais
Paperpack
Rais Kassim Mabrouk wa Tanzania anaingia kwenye mgogoro mkubwa na baadhi ya wajumbe wa chama chake, Chama Mahalia (CM). Genge la matajiri ndani ya chama linapanga mbinu chafu dhidi yake. Kwa njia za siri, Rais anaigundua mipango yote, anatengeneza kabrasha na kumkabidhi Tamim, mtu wake wa karibu katika duru za usalama
This book is categorised in
- Subjects :
- Swahili
Community Reviews
No reviews , Be the first to write a review
Related Books
Book Details
- ISBN : 9789976583533
- Publication Date : January 2023
- Language : Swahili
- Number of Pages : 264
- Cover Format : Paperpack
- Edition : First Edition