Found 293 matching results Viewing 85 - 96 of 293 matches Viewing 85 - 96 of 293 matches
- ORDINARY LEVEL BOOK-KEEPING REVIEW
- A collection of questions from Form 4 past National Examinations from the year 2003 to 2018 together with their fully worked out and well illustrated answers/solutions.
- Published : 2020
- Language : English
- ORDINARY LEVEL BIOLOGY REVIEW
- A concise summary of ALL Biology topics taught at Form 3 & 4 CSEE Biology questions of years 2003 through 2019 and their solution
- Published : 2019
- Language : English
- ORDINARY LEVEL BIOLOGY PRACTICAL GUIDE
- This Practical Guide is designed to help both the Teacher and the student in learning the skills and the procedures for conducting different Biology practicals using readily available as well as common laboratory equipment.
- Published : 2020
- Language : English
- NYERERE NA VIJIJI VYA UJAMAA
- Msingi na dafina ya tamthilia hii ni historia na lengo kuu la Mwalimu Julius Nyerere na TANU kutaka kujenga uchumi wa Ujamaa na Kujitegemea mintarafu mwongozo wa kitabu cha Azimio la Arusha, 1987.
- Published : 2021
- Language : Swahili
- NYERERE NA SAFARI YA KANAANI
- Oktoba, 1996 kulizuka mgogoro mkubwa wa kihistoria kati ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam na Muhimbili.
- Published : 2018
- Language : Swahili
- NINAAPA KWAMBA
- Ni rahisi kutawala na si kuongoza. ni rahisi kuendeleza ukoloni na si kulikomboa taifa.
- Published : 2023
- Language : Swahili
- NGUZO MAMA
- Penina Muhando (Pia Penina Mlama) ni mwandishi mbobevu na mwanazuoni wa Kiswahili hususan katika utanzu wa tamthiliya. Ameandika tamthiliya kama vile Heshima Yangu (1974), Pambo (1975), Lina Ubani (1984) na Mitumba Ndui (1989).
- Published : 2022
- Language : Swahili
- NGOME YA MIANZI
- Ni mwaka 1891. Mugoha na Nyawelu wametumwa katika kijiji cha mbali ili kumtafutia auni mama yao ambaye anaumwa uchungu wa uzazi. Wakiwa huko nchi ya Uhehe inavamiwa ghafla na majeshi ya Wadachi.
- Published : 2023
- Language : Swahili
- NGOMA YA MIANZI
- Mbumi na Chulu wanasimama kidete katika harakati za kuikomboa jamii yao dhidi ya utawala katili wa Wajerumani. Licha ya udogo wa umri wao, vijana hawa wanaleta mabadiliko yasiyomithilika. Visa, mikasa na changamoto zinatawala safari yao. watafanikiwa?
- Published : 2023
- Language : Swahili
- NAHAU ZA KIKWETU
- Kitabu hiki kina mkusanyiko wa nahau zaidi ya 650, maana zake pamoja na matumizi yake.
- Published : 2016
- Language : Swahili
- NAGONA
- Nagona ni riwaya fupi ya kifalsafa na kibaadausasa inayoibua fikra juu ya falsafa na maana ya uhai, maisha, dhamiri na hata fikra yenyewe. Mhusika kiini wa novela hii anajikuta katika mazingira ya ajabuajabu katika nyakati tofauti tofauti.
- Published : 2023
- Language : Swahili
- MZINGILE
- Mzingile ni novela (riwaya fupi) ya kifalsafa na kibaadausasa iliyochapishwa kwa mara ya kwanza mwaka 1991. Riwaya hii ni pacha ya ile ya Nagona (1990). Riwaya hii inasawiri chimbuko, maendeleo, maangamizi na kuzaliwa upya kwa dunia kutokana na fujo za wa
- Published : 2023
- Language : Swahili
My Cart