Heshima Yangu
Paperpack

Tamthilia hii fupi ina kisa cha kustaajabisha na kinachoangazia suala
linalojitokeza pale ambapo wanajamii wanapokuwa radhi kushinikiza wengine
kuishi katika hofu ili tu hadhi yao katika jamii isipotee. Heshima ya mtu mmoja
ilindwe kwa kudhalilisha na kuonea wengine kama vile nao hawana heshima
inayopaswa kulindwa na mioyo inayojali hadhi. Mzee Issa anawakilisha baadhi
ya wanaume katika jamii ambao vitendo vyao vimewavunjia heshima na hadhi
wengine shinikizo na vitisho, jamii inawaona kuwa wenye hadhi huku wale
wanaoonewa wanonekana ndio wasio na heshima. Hii ni kati ya tamthiliya bora
kabisa ambayo inakosoa mfumo dume si katika jamii pekee, bali katika fikra na
kuamrisha uwajibikaji katika kulinda heshima ya wote na si ya baadhi ya watu.

Penina Muhando

Penina Muhando (Pia Penina Mlama) ni mwandishi mbobevu na mwanazuoni wa kiswahili hususani katika utanzu wa Tamthiria.

This book is categorised in
Community Reviews
Related Books
Book Details
  • ISBN : 9789912755154
  • Publication Date : May 2025
  • Language : Swahili
  • Number of Pages : 24
  • Cover Format : Paperpack
  • Edition : First Edition