
Insha na Mashairi
Softcover
Maisha ya binadamu yamejaa changamoto nyingi. Binadamu hana budi kupambana na kutatua changamoto hizo. Katika kitabu hiki msanii anatoa mifano mbalimbali ya changamoto na jinsi ya kupambana nazo. Insha na mashairi vimejaa maadili mbalimbali ambayo binadamu akiyazingatia ataishi maisha yenye furaha na amani tele.
This book is categorised in
Community Reviews
No reviews , Be the first to write a review
Related Books
Book Details
- ISBN : 9789976583861
- Publication Date : June 2023
- Language : Swahili
- Number of Pages : 152
- Cover Format : Softcover
- Edition : First Edition