
Insha na Mashairi
Paperback
Maisha ya binadamu yamejaa changamoto nyingi. Binadamu hana budi kupambana na kutatua changamoto hizo. Katika kitabu hiki msanii anatoa mifano mbalimbali ya changamoto na jinsi ya kupambana nazo. Insha na mashairi vimejaa maadili mbalimbali ambayo binadamu akiyazingatia ataishi maisha yenye furaha na amani tele.
Taarifa za kitabu
- ISBN : 9789976583861
- Tarehe ya kuchapishwa : June 2023
- Lugha : Swahili
- Idadi ya kurasa : 152
- Aina ya kava : Softcover
- Toleo : First Edition
Jamii ya kitabu hiki ni
Maoni kutoka kwa jamii
Hakuna maoni , Kuwa wa kwanza kuandika maoni
Na
Shaaban Robert