
SIKU YA WATENZI WOTE ni riwaya ya kijamii inayojadili maisha ya wanadamu namna wanavyohusiana wao kwa wao na pia baina yao wao na Mungu. Ni riwaya inayozungukia kipindi cha mabadiliko katika nchi ya Tanganyika mara tu baada ya uhuru. Mabadiliko hayo yamegusia Nyanja mbalimbali za kisiasa, kiuchumi, kijamii na kitamaduni. Pamoja na mabadiliko hayo hasa ya kisiasa, tabaka la wenyenacho linaendeleza dhuluma, ufisadi, ukatili, uonevu na maovu mengine na kuwaacha watu wa tabaka la chini katika njaa kali, umasikini uliokithiri, makazi duni na kukata tamaa.
This book is categorised in
No reviews , Be the first to write a review
- ISBN : 9789976583830
- Publication Date : June 2023
- Language : Swahili
- Number of Pages : 154
- Cover Format : Softcover
- Edition : First Edition