
Malkia Bibi Titi Mohammed
Paperpack
Tamthilia hii inahusu Bibi Titi Mohamed. Titi alikuwa kiongozi shupavu aliyeupipgania uhuru wa Tanganyika kwa ujasiri mkubwa akiwa mwanachama wa TANU na kiongozi wa Umoja wa Wanawake. Wakati wanaume wengi walipokuwa wakiogopa kukata kadi za TANU, wakhofia kufukuzwa kazi na mkoloni, Titi aliwahamasisha wanawake kote nchini kuupigania uhuru wa Tanganyika
Community Reviews
No reviews , Be the first to write a review
Related Books
Book Details
- ISBN : 9789987701575
- Publication Date : June 2018
- Language : Swahili
- Number of Pages : 50
- Cover Format : Paperpack
- Edition : First Edition