Malkia Bibi Titi Mohammed
Paperpack

Tamthilia hii inahusu Bibi Titi Mohamed. Titi alikuwa kiongozi shupavu aliyeupipgania uhuru wa Tanganyika kwa ujasiri mkubwa akiwa mwanachama wa TANU na kiongozi wa Umoja wa Wanawake. Wakati wanaume wengi walipokuwa wakiogopa kukata kadi za TANU, wakhofia kufukuzwa kazi na mkoloni, Titi aliwahamasisha wanawake kote nchini kuupigania uhuru wa Tanganyika

Emmanuel Mbogo

I write about swahili

This book is categorised in
Community Reviews
Book Details
  • ISBN : 9789987701575
  • Publication Date : June 2018
  • Language : Swahili
  • Number of Pages : 50
  • Cover Format : Paperpack
  • Edition : First Edition