
Mkono wa Jamhuri
Paperpack
Mtemi Mkwawa anamtuma Mwagito kwenda Unyanyembe kuwakomboa watumwa walichukuliwa kutoka kalenga. Chambila, Mshauri wa Usalama wa Mtemi Mkwava, hapendezwi na matokeo. Mwagito anawekwa pembeni. Baada ya uhuru, Chambila, Mkuu wa Usalama wa Raisi Mkwava, akumbana na dhahama kubwa kutoka kwa mawakala wa nchi tatu yanapamba moto. Chambila anaona hatari. Anamkumbuka Mwagito.
This book is categorised in
Community Reviews
No reviews , Be the first to write a review
Related Books
Book Details
- ISBN : 9789976583953
- Publication Date : October 2023
- Language : Swahili
- Number of Pages : 268
- Cover Format : Paperpack
- Edition : First Edition