 
                                            
                        
                            Mkono wa Jamhuri
                        
                        
                        
                        
                        
                        
                        
                                    Paperback
                                
                            Mtemi Mkwawa anamtuma Mwagito kwenda Unyanyembe kuwakomboa watumwa walichukuliwa kutoka kalenga. Chambila, Mshauri wa Usalama wa Mtemi Mkwava, hapendezwi na matokeo. Mwagito anawekwa pembeni. Baada ya uhuru, Chambila, Mkuu wa Usalama wa Raisi Mkwava, akumbana na dhahama kubwa kutoka kwa mawakala wa nchi tatu yanapamba moto. Chambila anaona hatari. Anamkumbuka Mwagito.
                            
                               Taarifa za kitabu
                            
                            
                            - ISBN : 9789976583953
- Tarehe ya kuchapishwa : October 2023
- Lugha : Swahili
- Idadi ya kurasa : 268
- Aina ya kava : Paperpack
- Toleo : First Edition
Jamii ya kitabu hiki ni
                            
                                Maoni kutoka kwa jamii
                            
                            
                            
                                                            Hakuna maoni , Kuwa wa kwanza kuandika maoni
                                  Na
                                    
                                        Wilbard Makene
                                    
                                
                                    
                                    
                                 
  Manunuzi yangu
                                Manunuzi yangu
                             
                                                             
                                                             
                                                            