
Maisha yamekuwa na changamoto nyingi kwa watu wengi. Watoto nao wanfukuzwa shule, mke na mume hawaelewani na wengine wanafikia kuogopa hata kukaa nyumbani kwao, watoto na wazazi wao wanagombana, raia wanawalaumu viongozi wao... Maisha yameingia ukakasi, hofu na uchungu mkubwa! Kila mmoja anaimba wimbo ulele: kodi, kodi, kodi! Nini mchango wa "kodi" kwenye hali hii? Tamthiliya hii inatupitisha kwenye visa kadha wa kadha ambavyo vinaangazia ni kwa vipi kodi inaangushiwa lawama dhidi ya kila madhila ya ugumu wa Maisha na ukosefu wa amani nyumbani.
This book is categorised in
No reviews , Be the first to write a review
- ISBN : 9789912752436
- Publication Date : May 2025
- Language : Swahili
- Number of Pages : 152
- Cover Format : Paperpack
- Edition : First Edition