Kodi
Paperback

Maisha yamekuwa na changamoto nyingi kwa watu wengi. Watoto nao wanfukuzwa shule, mke na mume hawaelewani na wengine wanafikia kuogopa hata kukaa nyumbani kwao, watoto na wazazi wao wanagombana, raia wanawalaumu viongozi wao... Maisha yameingia ukakasi, hofu na uchungu mkubwa! Kila mmoja anaimba wimbo ulele: kodi, kodi, kodi! Nini mchango wa "kodi" kwenye hali hii? Tamthiliya hii inatupitisha kwenye visa kadha wa kadha ambavyo vinaangazia ni kwa vipi kodi inaangushiwa lawama dhidi ya kila madhila ya ugumu wa Maisha na ukosefu wa amani nyumbani.

Penina Muhando

Penina Muhando (Pia Penina Mlama) ni mwandishi mbobevu na mwanazuoni wa kiswahili hususani katika utanzu wa Tamthiria.

Taarifa za kitabu
  • ISBN : 9789912752436
  • Tarehe ya kuchapishwa : May 2025
  • Lugha : Swahili
  • Idadi ya kurasa : 152
  • Aina ya kava : Paperpack
  • Toleo : First Edition

Jamii ya kitabu hiki ni
Maoni kutoka kwa jamii