Chungu Tamu
Paperback

CHUNGU TAMU ni mashairi yanayouimulika jamii na kuichunguza kwa makini. Mashairi haya ni fasihi changanuzi yanaikosoa jamii yetu na kutoa mapendekezo mwaafaka dhidi ya mapungufu yaliyopo ambayo mwandishi anaamini kuwa iwapo yatazingatiwa, wananchi wataondokana na uchungu na kuonja utamu ambai malengo yao na ya viongozi waaminifu.

T. Mvungi

I write about swahili

Taarifa za kitabu
  • ISBN : 9789987701780
  • Tarehe ya kuchapishwa : December 2017
  • Lugha : Swahili
  • Idadi ya kurasa : 60
  • Aina ya kava : Paperpack
  • Toleo : First Edition

Jamii ya kitabu hiki ni
Maoni kutoka kwa jamii