
Chungu Tamu
Paperback
CHUNGU TAMU ni mashairi yanayouimulika jamii na kuichunguza kwa makini. Mashairi haya ni fasihi changanuzi yanaikosoa jamii yetu na kutoa mapendekezo mwaafaka dhidi ya mapungufu yaliyopo ambayo mwandishi anaamini kuwa iwapo yatazingatiwa, wananchi wataondokana na uchungu na kuonja utamu ambai malengo yao na ya viongozi waaminifu.
Taarifa za kitabu
- ISBN : 9789987701780
- Tarehe ya kuchapishwa : December 2017
- Lugha : Swahili
- Idadi ya kurasa : 60
- Aina ya kava : Paperpack
- Toleo : First Edition
Jamii ya kitabu hiki ni
- Masomo :
- Swahili
- Daraja :
- Form Three
- Form Four
- Form Five
- Form Six
Maoni kutoka kwa jamii
Hakuna maoni , Kuwa wa kwanza kuandika maoni