- TAHAKIKI KIDATO CHA 3 & 4
- Ufupisho wa vitabu vya fasihi vinavyotumika kidato cha 3 na 4 ukiambatana na ufafanuzi makini wa mada ya fasihi pamoja na mifano na maswali ya kujipima.
- Published : 2015
- Language : Swahili
- JIKUMBUSHE JIOGRAFIA NA SAYANSI 3 & 4
- Mkusanyiko wa maswali ya kutoka mitihani ya darasa la 4 kuanzia mwaka 1999 mpaka 2012 , pamoja na majibu yenye kuonyesha maelekezo kikamilifu
- Published : 2015
- Language : Swahili
- PRIMARY SCHOOL MATHEMATICS REVIEW 3 & 4
- A collection of questions from Standard 4 past National Examinations from the year 1999 to 2012 together with their fully worked out and well illustrated answers/solutions.
- Published : 2013
- Language : English
- JIKUMBUSHE KISWAHILI KIDATO CHA 4
- Kitabu hiki kina mkusanyiko wa maswali kutoka mitihani ya taifa toka mwaka 2005 through 2020 na majibu yaliyoandaliwa kwa usahihi, ustadi na ufasaha mkubwa.
- Published : 2021
- Language : Swahili
- ORDINARY LEVEL CHEMISTRY REVIEW
- This book contains CSEE Chemistry Questions and Answers of years 2005 through 2020 and their detailed and illustrated answers.
- Published : 2021
- Language : English
- JIKUMBUSHE LUGHA DARALA LA 3 & 4
- Kitabu hiki kina mkusanyiko wa maswali zaidi ya 700 ya masomo ya Kiswahili na Kiingereza toka katika mitihani ya Taifa ya Darasa la nne kati ya mwaka 1999 na 2012 pamoja na majibu yaliyoandaliwa kwa ufasaha mkubwa.
- Published : 2013
- Language : English
- JIKUMBUSHE HISTORIA & URAIA
- Kitabu hiki kina mkusanyiko wa maswali zaidi ya 700 ya Historia na Uraia toka katika mitihani ya Taifa ya Darasa la Nne kuanzia mwaka 1999 hadi 2012 pamoja na majibu yake yaliyoandaliwa kwa ufasaha mkubwa.
- Published : 2013
- Language : Swahili
- ADVANCED CHEMISTRY 1 REVIEW
- Advanced Chemistry paper 1 questions from past national examinations of years 2001 through 2016 and their complete solutions.
- Published : 2017
- Language : English
- MAP READING & MAP EXTRACTS
- This book contains comprehensive lessons on Map reading as required by the Tanzanian Secondary School Geography Syllabus.
- Published : 2015
- Language : English
- FORM 2 BIBLE KNOWLEDGE REVIEW
- This book contains comprehensive Notes for bible knowledge suitable for revision for form 1 and form 2 students.These cover:Introduction to bible knowledge and contain guide notes for Books of Genesis, Exodus,Numbers,Deuteronomy,Joshua and Judges.
- Published : 2015
- Language : English
- HARUSI
- Vigelegele, vifijo na cherekochereko za kina mama wakiimba mamie mwana so ukaule mgeni kengia ndizo zinazokamilisha kilele cha harusi ya Rahman, mtoto wa Alhaj Mwinyi Karim kwa Shufaa binti wa Mwinyi Sitaki Shari.
- Published : 2017
- Language : Swahili
- CHUNGU TAMU
- CHUNGU TAMU ni mashairi yanayouimulika jamii na kuichunguza kwa makini. Mashairi haya ni fasihi changanuzi yanaikosoa jamii yetu na kutoa mapendekezo mwaafaka dhidi ya mapungufu yaliyopo
- Published : 2017
- Language : Swahili
- ENGLISH READING SKILLS WITH ACTIVITIES STANDARD 1
- This book helps to develop key English Reading and Rhyme skills in a child. Among the lessons taught in this book includes: Communicating Orally, Short vowels, Long vowels, Reading and Comprehension and telling events in a sequence.
- Published : 2018
- Language : English
- KUANDIKA KWA VITENDO DARASA LA 2
- Kitabu hiki kinafundisha somo la Kuandika kulingana na muhtasari mpya wa Elimu ya Msingi kwa Darasa la 2 wa mwaka 2016
- Published : 2024
- Language : Swahili
- KISWAHILI KWA VITENDO DARASA LA 4
- Kitabu hiki kinafundisha somo la Kiswahili kulingana na Muhtasari mpya wa Elimu ya Msingi kwa Darasa la 4 wa mwaka 2016.
- Published : 2020
- Language : Swahili
- VOCATIONAL SKILLS WITH ACTIVITIES STANDARD 5
- This book covers the requirements of the current Tanzanian Primary School syllabus for Vocational Skills for Standard 5.
- Published : 2020
- Language : English
- KISWAHILI KWA VITENDO DARASA LA 7
- Kitabu hiki kinatoa mafunzo ya somo la Kiswahili kwa mujibu wa Muhtasari mpya wa Elimu ya Msingi kwa Darasa la 7 wa mwaka 2019. Uandaaji wa kitabu hiki umezingatia misingi na vigezo vya uandishi bora na umelenga kumjengea mwanafunzi uwezo wa kuchambua mam
- Published : 2020
- Language : Swahili
- COMPREHENSIVE BASIC MATHEMATICS FORM 2
- Comprehensive Basic Mathematics for Secondary Schools Form 2 covers the requirements of the current Tanzanian Basic Mathematics syllabus for Form 2.
- Published : 2021
- Language : English
- ELIMU BORA YENYE MALENGO
- Kitabu hiki kinaangazia masuala ya msingi katika safari ya elimu, kikianza na hatua ya malezi ya mtoto kabla ya kwenda shule, elimu ya awali, elimu msingi na hatimaye elimu ya sekondari.
- Published : 2021
- Language : Swahili
- USIKU UTAKAPOKWISHA
- Mbunda Msokile alizaliwa Mbinga, Tanzania. Alipata elimu ya msingi katika shule za Wukiro na Litembo, na elimu ya sekondari katika shule za Kigonsera na Ihungo. Baada ya hapo, alijiunga na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na kuhitimu shahada ya B.A (Ed) mwaka
- Published : 2022
- Language : Swahili