Harakati za Ukombozi
Paperback

Tamthiliya hii inaangazia changamoto za nchi nyingi za Afrika miaka
michache baada ya kupata uhuru. Ingawa mkoloni alifahamika
bayana kama adui aliyewanyima maendeleo na kudumisha uonevu,
miaka michache tu ya utawala huru, sumu ya kiti cha utawala
inawaponza viongozi wao na kuwafanya nao kuwa kama watesi wa
mwanzo. Jamii inataka ukombozi wa pili japo ni ukombozi mgumu
kuupata kutokana na kuzongwa na maslahi binafsi ya viongozi wao.

Penina Muhando

Penina Muhando (Pia Penina Mlama) ni mwandishi mbobevu na mwanazuoni wa kiswahili hususani katika utanzu wa Tamthiria.

Taarifa za kitabu
  • ISBN : 9789912 755178
  • Tarehe ya kuchapishwa : May 2025
  • Lugha : Swahili
  • Idadi ya kurasa : 40
  • Aina ya kava : Paperpack
  • Toleo : First Edition

Jamii ya kitabu hiki ni
Maoni kutoka kwa jamii
Na Penina Muhando