Hidaya ya Penina Muhando I
Paperback

Hidaya ya Penina Muhando ni mkusanyiko wa kazi
mujarabu za mwandishi hodari wa tamthiliya, Profesa
Penina Oniviel Muhando (Pia, Penina Mlama), ambaye,
kwa mchango wake adhimu katika lugha ya Kiswahili,
hususan utanzu wa tamthiliya, anastahili kutambuliwa
kama Mama wa Tamthiliya ya Kiswahili.
Mbali ya kuwa tunu zenye kubeba masimulizi ya
historia, kra, desturi na mapito ya jamii, kazi hizi
zimetoa mchango mkubwa katika kukuza matumizi na
umaarufu wa lugha ya Kiswahili duniani.

Penina Muhando

Penina Muhando (Pia Penina Mlama) ni mwandishi mbobevu na mwanazuoni wa kiswahili hususani katika utanzu wa Tamthiria.

Taarifa za kitabu
  • ISBN : 9789912752412
  • Tarehe ya kuchapishwa : May 2025
  • Lugha : Swahili
  • Idadi ya kurasa : 226
  • Aina ya kava : Paperpack
  • Toleo : First Edition

Jamii ya kitabu hiki ni
Maoni kutoka kwa jamii