 
                                            
                        
                            Jikumbushe Historia & Uraia
                        
                        
                        
                        
                        
                        
                        
                    Kitabu hiki kina mkusanyiko wa maswali zaidi ya 700 ya Historia na Uraia toka katika mitihani ya Taifa ya Darasa la Nne kuanzia mwaka 1999 hadi 2012 yaliyochambuliwa, kusahihishwa na kuboreshwa ili kukidhi matakwa ya sasa ya mtaala pamoja na kueleza hali halisi kama ilivyo sasa. Maswali haya yamejibiwa kwa ufasaha ili kumuelimisha mwanafunzi na kumpa maarifa zaidi katika masomo haya.
                            
                               Taarifa za kitabu
                            
                            
                            - ISBN : 97899877012xx
- Tarehe ya kuchapishwa : January 2013
- Lugha : Swahili
- Idadi ya kurasa : 102
- Aina ya kava : Paperpack
- Toleo : First Edition
Jamii ya kitabu hiki ni
- Daraja :
- Primary Three
- Primary Four
                            
                                Maoni kutoka kwa jamii
                            
                            
                            
                                                            Hakuna maoni , Kuwa wa kwanza kuandika maoni
                                  Na
                                    
                                        Selina Peter
                                    
                                
                                    
                                    
                                 
  Manunuzi yangu
                                Manunuzi yangu
                            