Jikumbushe Kiswahili Kidato Cha 4
Paperback

Mkusanyiko wa maswali kutoka mitihani ya taifa toka mwaka 2005 hadi 2020 na majibu yaliyoandaliwa kwa usahihi, ustadi na ufasaha mkubwa.

Dondoo muhimu za somo la Kiswahili zitakazowasaidia wanafunzi wa kidato cha 3 na 4 katika marudio yao na katika ujibuji wa maswali ya mitihani.

Kamusi ndogo yenye misamiati muhimu ijitokezayo katika somo la Kiswahili.

Anita Masika

I write about kiswahili

Taarifa za kitabu
  • ISBN : 9789987710256
  • Waandishi : Anita Masika Eliupendo W. Mbise
  • Tarehe ya kuchapishwa : August 2021
  • Lugha : Swahili
  • Idadi ya kurasa : 263
  • Aina ya kava : Paperpack
  • Toleo : Tenth Edition

Jamii ya kitabu hiki ni
Maoni kutoka kwa jamii