
Karibu Ndani
Paperback
Karibu ndani ni diwani ya pili ya Kezilahabi. Hii imekusanya mashairi yaliyohusu harakati za Ujamaa nchini Tanzania, hususani “kushindwa” kwa Ujamaa kutokana na unjozi na upofu wa waasisi wake; mgogoro wa ushairi wa miaka ya 1970 kati ya wanajadi na wanamabadiliko, tafakuri kuhusu maisha ya kawaida, na kuhusu falsafa. Falsafa ya Kezilahabi kuhusu maisha na ulimwengu iliyomo katika kazi zilizotangulia bado inajitokeza katika diwani hii.
Taarifa za kitabu
- ISBN : 9789976587104
- Tarehe ya kuchapishwa : January 2023
- Lugha : Swahili
- Idadi ya kurasa : 49
- Aina ya kava : Paperpack
Jamii ya kitabu hiki ni
Maoni kutoka kwa jamii
Hakuna maoni , Kuwa wa kwanza kuandika maoni
Na
Euphrase Kezilahabi