 
                                            
                        
                            Kichomi
                        
                        
                        
                        
                        
                        
                        
                                    Paperback
                                
                            Kichomi ni diwani inayoakisi mawazo anuwai kutoka kwenye nyanja tofauti za maisha, kama vile uchumi, siasa, utamaduni, ndoa na dini; hususan katika sehemu ya kwanza ya diwani aliyoiita Mashairi ya Mwanzo. Je, ni mawazo gani hayo? Katika sehemu ya pili ya diwani hii aliyoiita Fungueni Mlango, mshairi ameibua swali muhimu linalousakama moyo wake: Maana ya maisha ni nini? Hii ni diwani chokonozi iliyojaa tafakuri zisizoepukika katika maisha yetu.
                            
                               Taarifa za kitabu
                            
                            
                            - ISBN : 9789976583724
- Tarehe ya kuchapishwa : June 2024
- Lugha : Swahili
- Idadi ya kurasa : 330
- Aina ya kava : Paperpack
Jamii ya kitabu hiki ni
- Masomo :
- Kiswahili
                            
                                Maoni kutoka kwa jamii
                            
                            
                            
                                                            Hakuna maoni , Kuwa wa kwanza kuandika maoni
                                  Na
                                    
                                        Euphrase Kezilahabi
                                    
                                
                                    
                                    
                                 
  Manunuzi yangu
                                Manunuzi yangu
                             
                                                             
                                                             
                                                            