
Kumng'Oa Nduli
Paperback
Tamthiliya hii inaakisi awamu mbili za utawala wa Dikteta Idi Amin nchini Uganda. Awamu ya kwanza ni kuanzia mwaka 1971 alipomng’oa Milton Obote na kujitangaza rais wa maisha wa nchi ya Uganda.
Taarifa za kitabu
- ISBN : 9789987871742
- Tarehe ya kuchapishwa : January 2023
- Lugha : Swahili
- Idadi ya kurasa : 156
- Aina ya kava : Paperpack
Jamii ya kitabu hiki ni
Maoni kutoka kwa jamii
Hakuna maoni , Kuwa wa kwanza kuandika maoni
Na
Emmanuel Mbogo