Found 293 matching results Viewing 157 - 168 of 293 matches Viewing 157 - 168 of 293 matches
- SWIMMING AGAINST THE CURRENT
- SWIMMING AGAINST THE CURRENT is an inspiring novel that addresses various challenges encountered by a woman when struggling to fulfill her dreams.
- Published : 2021
- Language : English
- MABALA AND THE INTERNET
- This book will make you laugh out loud at the continuing tendency of Mabala to mess things up by claiming to know what he does not know instead of allowing those who do know to take the lead.
- Published : 2021
- Language : English
- TANZIA YA PARTICE LUMUMBA
- KONGO [DRC] ilipata uhuru toka kwa Wabelgiji tarehe 30/06/1960 na Patrice Lumumba akawa Waziri Mkuu wa kwanza. Baada ya miezi sita tu, yaani tarehe 17/01/1961, Lumumba akauliwa kikatili na kinyama
- Published : 2022
- Language : Swahili
- NGUZO MAMA
- Penina Muhando (Pia Penina Mlama) ni mwandishi mbobevu na mwanazuoni wa Kiswahili hususan katika utanzu wa tamthiliya. Ameandika tamthiliya kama vile Heshima Yangu (1974), Pambo (1975), Lina Ubani (1984) na Mitumba Ndui (1989).
- Published : 2022
- Language : Swahili
- USIKU UTAKAPOKWISHA
- Mbunda Msokile alizaliwa Mbinga, Tanzania. Alipata elimu ya msingi katika shule za Wukiro na Litembo, na elimu ya sekondari katika shule za Kigonsera na Ihungo. Baada ya hapo, alijiunga na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na kuhitimu shahada ya B.A (Ed) mwaka
- Published : 2022
- Language : Swahili
- WATOTO WA MAMAN’TILIE
- Katika riwaya hii ya Watoto wa Maman’tilie, mwandishi anathibitisha kuwa mama ni mtu wa muhimu sana. Riwaya inasimulia na kushadidia kuwa Maman’tilie ni nguzo na dereva wa familia yake yenye wasafiri watatu:
- Published : 2022
- Language : Swahili
- ORODHA
- Steve Reynolds alizaliwa mwaka 1960 nchini Uingereza. Amekuwa mwalimu wa Tamthiliya na Michezo ya kuigiza kwa miaka 21 na ameongoza warsha nyingi pamoja na matamasha mbalimbali katika sehemu nyingi duniani.
- Published : 2022
- Language : Swahili
- MAJI HAYAFATI MKONDO
- Maji Hayafuati Mkondo ni riwaya ya kipekee iliyoandikwa na mwandishi wa kike Felista Richard Mhonge . Riwaya hii inazungumzia changamoto anazokumbana nazo mwanamke katika kufikisha ndoto za maisha yake.
- Published : 2022
- Language : Swahili
- DHIFA
- Dhifa ni diwani ya mwisho ya Kezilahabi.
- Published : 2022
- Language : Swahili
- JULIUS NYERERE KIZIMBANI
- Tamthiliya hii inahusu tukio la kweli la kihistoria lililotokea mwaka 1958. Katika mwaka huo, TANU ikiwa na umri wa miaka minne pekee, serikali ya kikoloni ilidhamiria kuuyumbisha na hatimaye kuusambaratisha kabisa uongozi wa chama.
- Published : 2023
- Language : Swahili
- SIKU SABA ZA MWENDAWAZIMU
- SIKU SABA ZA MWENDAWAZIMU ni riwaya iliyosheheni visa mbalimbali vinavyoelezea matatizo yanayojitokeza katika jamii. Katika riwaya hii ya kusisimua, mwandishi anawachora Kikopo na Mfuniko kama wahusika wendawazimu lakini katika hali yao ya uendawazimu,
- Published : 2023
- Language : Swahili
- DUNIA UWANJA WA FUJO
- “Dunia uwanja wa fujo” inaelezea jinsi maisha yaliyopo duniani ni sawa sawa na fujo kwani kila mtu anayekuja duniani huleta fujo zake na baadae kutoweka.
- Published : 2023
- Language : Swahili
My Cart