Found 309 matching results Viewing 193 - 204 of 309 matches Viewing 193 - 204 of 309 matches
- AMA ZAO AMA ZANGU
- No description
- Published : 2023
- Language : Swahili
- YALIYONIKUTA TANGA
- Yakusimuliwa hayakidhi shaulu. "Raha ya ngoma ucheze mwenyewe' Fuatilia mkasa huu wa kusisimua kwani tanga waja leo..
- Published : 2023
- Language : Swahili
- PILI PILIPILI
- Penzi ni pumbazo tena pumbazo kichefuchefu linaloweza kumfanya mtu afanye yasiyotarajiwa. Muhusika mkuu katika riwaya hii anadondoka katika penzi zito la binti Pili linalomea na kufa haraka mithili ya uyoga likiacha majuto na muwasho maishani mwake.
- Published : 2023
- Language : Swahili
- LAWALAWA
- Lawalawa anaingia matatani baada ya kutuma barua ya mpenzi wake kwa mumewe kimakosa. Majuto na wasiwasi vinamwandama anapoisubiri hatima yake kutoka kwa mumewe. Je, Kuna matumaini ya ndoa yake changa? Fuatilia mkasa huu.
- Published : 2023
- Language : Swahili
- UFAFANUZI LUGALO
- Mkuu wa Majeshi, Jenerali Akida Mwema, anamshauri Rais Amida Busara kutokupeleka majeshi nchini Kongo ili kufanikisha mkakati wa kijeshi kwanza. Mkuu wa Majeshi anafanya kazi kufa na kupona. Katika pilikapilika za kukamilisha mkakati huo anakumbana na ud
- Published : 2023
- Language : Swahili
- KABRASHA LA RAIS
- Rais Kassim Mabrouk wa Tanzania anaingia kwenye mgogoro mkubwa na baadhi ya wajumbe wa chama chake, Chama Mahalia (CM). Genge la matajiri ndani ya chama linapanga mbinu chafu dhidi yake.
- Published : 2023
- Language : Swahili
- KIFURUSHI IKULU
- Rais Razak Wakil wa nchi ya Sirini anapata misukosuko ya kiusalama toka kwa genge lisilojulikana. Kwa kushirikiana na msaidizi wake, Koreshi Masufi, wanaamua kumtuma mjumbe wa siri kutafuta chanzo cha tatizo.
- Published : 2023
- Language : Swahili
- SARAFU YA GAVANA
- Watu wasiojulikana katika nchi ya Weusi Kusini, wanapambana vikali kumshambulia Gavana nchi hiyo, bwana Bongo kwa lengo la kummaliza.
- Published : 2023
- Language : Swahili
- DHIHAKA YA MUME
- Uvumilivu usioelezeka unagonga mwamba baada ya Marisa kutoweza kuendelea na penzi la manyanyaso la Maina. Dhihaka ya Mume ni riwaya inayoakisi maisha ya jamii iliyojaa matabaka, mila na desturi zilizopitwa na wakati, umasikini, mapenzi na usaliti.
- Published : 2023
- Language : Swahili
- KUMNG'OA NDULI
- Tamthiliya hii inaakisi awamu mbili za utawala wa Dikteta Idi Amin nchini Uganda. Awamu ya kwanza ni kuanzia mwaka 1971 alipomng’oa Milton Obote na kujitangaza rais wa maisha wa nchi ya Uganda.
- Published : 2023
- Language : Swahili
- MWINYI NA MANYANI YA ADILI
- Tamthilia hii inaangazia hali ya maisha nchini Tanzania kabla na wakati wa utawala wa Rais wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi (Mhe). Tamthilia inaonesha Rais Mwinyi akipokea dola nchi ikiwa inaning’inia katika mtego mkubwa wa kifalsafa, kisiasa na kiuchu
- Published : 2023
- Language : Swahili
- MBIU YA MSWAHILI
- Kitabu hiki ni kielelezo cha utajiri mkubwa wa misemo, vionjo, simulizi na masomo yatoayo adili, burudani na uchokozi wa fikra kutoka katika lugha ya Kiswahili.
- Published : 2023
- Language : Swahili
My Cart