Morani
Paperback

Katika kiwango cha uhalisia, tunamwona Dongo, mhusika mkuu, akipambana na
wahujumu uchumi ili kuwakomboa wanyonge. Lakini ghafla nyota iliyong’aa na
kuwapa tumaini maskini inazima. Dongo anafariki dunia! Kwa wanyonge
ukombozi wa nchi yao unageuka ndoto ya kukatisha tamaa. Kuhusu hali katika
dunia ya Kuzimuni tunamwona Dongo katopea kwenye mdahalo wa kifalsafa
akitafakari na kutathmini yale yaliyomfika na kumtoa roho ghafla.

Emmanuel Mbogo

I write about swahili

Taarifa za kitabu
  • ISBN : 9789987871117
  • Tarehe ya kuchapishwa : January 2019
  • Lugha : Swahili
  • Idadi ya kurasa : 53
  • Aina ya kava : Paperpack
  • Toleo : Fifth Edition

Jamii ya kitabu hiki ni
Maoni kutoka kwa jamii