Mtumwa Hadi Siti Binti Saad
Paperback

Profesa Emmanuel Mbogo ni Mwandishi wa tamthilia, riwaya na hadithi fupi. Baadhi ya
vitabu vyake ni pamoja na: Giza Limeingia, Tone la Mwisho, Watoto Wetu, Morani, Ngoma
ya Ng’wanamalundi, Sundiata, Ndoto za Josef, Vipuli vya Figo, Fumo Liongo, Watoto wa
Mamantilie, Bustani ya Edeni, Dawa Dhidi ya Magonjwa Yote, Mizungu ya Manabii, Siri
za Maisha, Sadaka ya John Okello, Wachawi wa Bongo, Wangari Maathai, Nyota ya Tom
Mboya, Malkia Bibi Titi Mohamed na Mondlane & Samora.

Emmanuel Mbogo

I write about swahili

Taarifa za kitabu
  • ISBN : 9789987871155
  • Tarehe ya kuchapishwa : February 2019
  • Lugha : Swahili
  • Idadi ya kurasa : 70
  • Aina ya kava : Paperpack
  • Toleo : Third Edition

Jamii ya kitabu hiki ni
Maoni kutoka kwa jamii