Vimepatikana vitabu 34 katika
Form three
Unaangalia 21 - 34 kati ya 34
Unaangalia 21 - 34 kati ya 34
- KICHWAMAJI
- Riwaya ya Kichwa Maji ni Riwaya iliyoandikwa mwaka 1974 na E. Kezilahabi. Hii ni Riwaya ya Kisaikolojia kwa sababu inadodosa nafsi ya mhusika, fikra, hisia, mawazo, imani, hofu, mashaka, matumaini na matamanio yake binafsi na athari za mambo hayo kwake na
- Kimechapishwa : 2023
- Lugha: Swahili
- NGOMA YA MIANZI
- Mbumi na Chulu wanasimama kidete katika harakati za kuikomboa jamii yao dhidi ya utawala katili wa Wajerumani. Licha ya udogo wa umri wao, vijana hawa wanaleta mabadiliko yasiyomithilika. Visa, mikasa na changamoto zinatawala safari yao. watafanikiwa?
- Kimechapishwa : 2023
- Lugha: Swahili
- PENDO PEVU
- Matumaini ya wazazi wa kijana Vitto yanazimika ghafla mithili ya kibatari kilichopulizwa na upepo mkali. Haya yanajiri baada ya kijana wao, Vitto, kubadili uamuzi wake kuhusiana na kumuoa binti aliyechaguliwa na wazazi wake.
- Kimechapishwa : 2023
- Lugha: Swahili
- SANDA YA JAMBAZI
- Somo la fedha fedheha Malik hakulielewa maishani mwake, hivyo analipa gharama ya kufa na kuzikwa mithili ya mbwa.
- Kimechapishwa : 2023
- Lugha: Swahili
- GUBU LA MUME
- Kwa mume kuna ngodo Mwanahamisi hakuna uhondo. Wala hakuna utamu kuna balagham! Ndivyo alivyoniambia somo yangu Mama Muhidini kabla sijaolewa.
- Kimechapishwa : 2023
- Lugha: Swahili
- UCHOCHORO WA TANZANITE
- Alex ni afisa usalama, anapenyezwa Wizara ya Madini kung’amua kinachoendelea katika upotevu tata wa mapato ya Taifa ndani ya biashara ya madini ya Tanzanite. Anaambulia taarifa kiduchu
- Kimechapishwa : 2023
- Lugha: Swahili
- INSHA NA MASHAIRI
- Maisha ya binadamu yamejaa changamoto nyingi. Binadamu hana budi kupambana na kutatua changamoto hizo.
- Kimechapishwa : 2023
- Lugha: Swahili
- MWAFRIKA AIMBA
- Mwafrika Aimba ni diwani inayosawiri maisha ya mwanadamu. Mshairi ameonesha jinsi maisha yalivyo kwa Mwafrika. Anadokeza dhuluma, manyanyaso, unafiki, usaliti na maovu. Vilevile anawanasihi watu wote kutimiza wajibu wao.
- Kimechapishwa : 2023
- Lugha: Swahili
- WHO AM I? PARROT
- The Who am I? series provides young readers with information about common things in the environment in a simple and direct language.
- Kimechapishwa : 2023
- Lugha: English
- SPORTS AND ARTS WITH ACTIVITIES STANDARD 1
- Sports and arts are important in enhancing the pupil's mental, physical and social development. Participation in sports and arts activities helps the pupil to socialize, learn new things, make friends and communicate well with others.
- Kimechapishwa : 2024
- Lugha: English
- ARITMETIC WITH ACTIVITIES STANDARD 2
- This book to develop key arithmetic skills in the pupil. Among the lessons it teaches are: Number Counting up to 1000, Number Operations, Time, Reading Clocks, Fractions, Measurements, Shapes, Money & Shop Activities and correcting data.
- Kimechapishwa : 2023
- Lugha: English
- MATHEMATICS WITH ACTIVITIES STANDARD 4 TEACHER'S RESOURCES
- This book is a handy and helpful resource for the Standard 4 Mathematics teacher. It is based on the Mathematics with Activities pupil's book for this level that has the approval of the Ministry of Education,
- Kimechapishwa : 2023
- Lugha: English
- SCIENCE WITH ACTIVITIES STANDARD 4
- This book thoroughly covers the requirements of the 2023 Tanzanian syllabus for Science Standard 4.
- Kimechapishwa : 2024
- Lugha: English
- HATIA
- Tamthiliya hii inahusu madhila yanayowapata watoto wa kike wanapoingia katika mahusiano kwa miguu miwili na kufanya maamuzi ya hatari kwa shinikizo la wanaodai kuwapenda.
- Kimechapishwa : 2025
- Lugha: Swahili