Found 293 matching results Viewing 277 - 288 of 293 matches Viewing 277 - 288 of 293 matches
- GEOGRAPHY AND ENVIRONMENT WITH ACTIVITIES STANDARD 4
- Geography and Environment is a book that covers all the requirements of the 2023 Standard 4 syllabus. It is written in a simple and learner-friendly language that uses a competence-based approach to learning.
- Published : 2024
- Language : English
- HISTORIA YA TANZANIA NA MAADILI KWA VITENDO DARASA LA 4
- Umahiri katika Historia ya Tanzania na Maadili ni kitabu kilichoandaliwa kwa kuzingatia maudhui ya Muhtasari wa 2023 wa somo la Historia ya Tanzania na Maadili kwa Kidato cha Kwanza.
- Published : 2024
- Language : Swahili
- SPORTA, ARTS AND CRAFTS WITH ACTIVITIES STANDARD 4
- This book helps to develop key arithmetic skills in a child. Among the lessons it teaches are: Reading Skills, short vowels, long vowels, comprehension, basic tenses and comprehension.
- Published : 2024
- Language : English
- HARAKATI ZA UKOMBOZI
- Tamthiliya hii inaangazia changamoto za nchi nyingi za Afrika miaka michache baada ya kupata uhuru.
- Published : 2025
- Language : Swahili
- TARAKA SI MKE WANGU
- Tamthiliya hii inaangazia kisa cha wazazi waliokosa maelewano na mume kuchukua uamuzi wa kumtaliki mkewe. Japo kutoa talaka ni jambo la mmoja, madhara yake hakika si jambo linalobaki kwa mmoja pekee.
- Published : 2025
- Language : Swahili
- HESHIMA YANGU
- Tamthilia hii fupi ina kisa cha kustaajabisha na kinachoangazia suala linalojitokeza pale ambapo wanajamii wanapokuwa radhi kushinikiza wengine kuishi katika hofu ili tu hadhi yao katika jamii isipotee.
- Published : 2025
- Language : Swahili
- HATIA
- Tamthiliya hii inahusu madhila yanayowapata watoto wa kike wanapoingia katika mahusiano kwa miguu miwili na kufanya maamuzi ya hatari kwa shinikizo la wanaodai kuwapenda.
- Published : 2025
- Language : Swahili
- KODI
- Maisha yamekuwa na changamoto nyingi kwa watu wengi. Watoto nao wanfukuzwa shule, mke na mume hawaelewani na wengine wanafikia kuogopa hata kukaa nyumbani kwao, watoto na wazazi wao wanagombana, raia wanawalaumu viongozi wao...
- Published : 2025
- Language : Swahili
- HIDAYA YA PENINA MUHANDO I
- Hidaya ya Penina Muhando ni mkusanyiko wa kazi mujarabu za mwandishi hodari wa tamthiliya, Profesa Penina Oniviel Muhando (Pia, Penina Mlama), ambaye, kwa mchango wake adhimu katika lugha ya Kiswahili, hususan utanzu wa tamthiliya, anastahili kutambuliwa
- Published : 2025
- Language : Swahili
- HIDAYA YA PENINA MUHANDO II
- Hidaya ya Penina Muhando ni mkusanyiko wa kazi mujarabu za mwandishi hodari wa tamthiliya, Profesa Penina Oniviel Muhando (Pia, Penina Mlama),
- Published : 2025
- Language : Swahili
- COMPREHENSIVE REVISION FOR STANDARD 3&4
- 105 Adapted National Examination Papers which together have over 3500 questions of 7 subjects taught in Standard 3 & 4 and their answers. This books is enriched with updated information in science and technology, economic and political matters.
- Published : 2025
- Language : English
- KICHOMI
- Kichomi ni diwani inayoakisi mawazo anuwai kutoka kwenye nyanja tofauti za maisha, kama vile uchumi, siasa, utamaduni, ndoa na dini; hususan katika sehemu ya kwanza ya diwani aliyoiita Mashairi ya Mwanzo.
- Published : 2024
- Language : Swahili
My Cart