Found 309 matching results Viewing 109 - 120 of 309 matches Viewing 109 - 120 of 309 matches
- HESHIMA YANGU
- Tamthilia hii fupi ina kisa cha kustaajabisha na kinachoangazia suala linalojitokeza pale ambapo wanajamii wanapokuwa radhi kushinikiza wengine kuishi katika hofu ili tu hadhi yao katika jamii isipotee.
- Published : 2025
- Language : Swahili
- HIDAYA YA PENINA MUHANDO I
- Hidaya ya Penina Muhando ni mkusanyiko wa kazi mujarabu za mwandishi hodari wa tamthiliya, Profesa Penina Oniviel Muhando (Pia, Penina Mlama), ambaye, kwa mchango wake adhimu katika lugha ya Kiswahili, hususan utanzu wa tamthiliya, anastahili kutambuliwa
- Published : 2025
- Language : Swahili
- HIDAYA YA PENINA MUHANDO II
- Hidaya ya Penina Muhando ni mkusanyiko wa kazi mujarabu za mwandishi hodari wa tamthiliya, Profesa Penina Oniviel Muhando (Pia, Penina Mlama),
- Published : 2025
- Language : Swahili
- HIDAYA YA SHAABAN ROBERT 1
- Hii ni diwani yenye mashairi mbalimbali yanayojadili mambo tofauti ya maisha ya binadamu.
- Published : 2023
- Language : Swahili
- HIDAYA YA SHAABAN ROBERT 2
- No overview
- Published : 2023
- Language : Swahili
- HIDAYA YA SHAABAN ROBERT 3
- Hii ni hadithi fupi inayohusu maisha ya kawaida ya binadamu. Mwandishi anajadili dhana ya upendo kama kiini cha urafiki, mapatano, msamaha na wokovu dhidi ya madhila ya binadamu wenye wivu, chuki na mabaya mengine.
- Published : 2023
- Language : Swahili
- HIDAYA YA SHAABAN ROBERT 5
- Huu ni mkusanyiko wa mashairi ya Shaaban Robert unaoakisi maisha ya jamii kwa kuangazia nyanja mbalimbali na mabadiliko yake.
- Published : 2023
- Language : Swahili
- HIDAYA YA SHAABANI ROBERT 4
- Uhodari na utunzi mahiri wa Shaaban Robert unadhihirishwa katika kazi yake hii ya Koja la Lugha, Mashairi yaliyosukwa kwa ustadi na kubeba tunu za jamii yamekusanywa na kuunda kitabu hiki.
- Published : 2023
- Language : Swahili
- HIDAYA YA SHABAAN ROBER 6
- Riwaya hii ya kiwasifu inazungumzia mwimbaji maarufu wa taarabu katika ukanda wa Afrika Mashariki na Afrika kwa ujumla.
- Published : 2023
- Language : Swahili
- HISTORIA YA TANZANIA NA MAADILI
- Hiki ni kitabu cha mwanafunzi kwa darasa la tatu. Kitabu hiki kimezingatia Muhtasari wa somo la Historia ya Tanzania na Maadili kwa shule za msingi Tanzania wa mwaka 2023.
- Published : 2024
- Language : English
- HISTORIA YA TANZANIA NA MAADILI KWA VITENDO DARASA LA 4
- Umahiri katika Historia ya Tanzania na Maadili ni kitabu kilichoandaliwa kwa kuzingatia maudhui ya Muhtasari wa 2023 wa somo la Historia ya Tanzania na Maadili kwa Kidato cha Kwanza.
- Published : 2024
- Language : Swahili
- INSHA NA MASHAIRI
- Maisha ya binadamu yamejaa changamoto nyingi. Binadamu hana budi kupambana na kutatua changamoto hizo.
- Published : 2023
- Language : Swahili
My Cart