Found 309 matching results Viewing 25 - 36 of 309 matches Viewing 25 - 36 of 309 matches
- HIDAYA YA PENINA MUHANDO I
- Hidaya ya Penina Muhando ni mkusanyiko wa kazi mujarabu za mwandishi hodari wa tamthiliya, Profesa Penina Oniviel Muhando (Pia, Penina Mlama), ambaye, kwa mchango wake adhimu katika lugha ya Kiswahili, hususan utanzu wa tamthiliya, anastahili kutambuliwa
- Published : 2025
- Language : Swahili
- KODI
- Maisha yamekuwa na changamoto nyingi kwa watu wengi. Watoto nao wanfukuzwa shule, mke na mume hawaelewani na wengine wanafikia kuogopa hata kukaa nyumbani kwao, watoto na wazazi wao wanagombana, raia wanawalaumu viongozi wao...
- Published : 2025
- Language : Swahili
- HATIA
- Tamthiliya hii inahusu madhila yanayowapata watoto wa kike wanapoingia katika mahusiano kwa miguu miwili na kufanya maamuzi ya hatari kwa shinikizo la wanaodai kuwapenda.
- Published : 2025
- Language : Swahili
- HESHIMA YANGU
- Tamthilia hii fupi ina kisa cha kustaajabisha na kinachoangazia suala linalojitokeza pale ambapo wanajamii wanapokuwa radhi kushinikiza wengine kuishi katika hofu ili tu hadhi yao katika jamii isipotee.
- Published : 2025
- Language : Swahili
- TARAKA SI MKE WANGU
- Tamthiliya hii inaangazia kisa cha wazazi waliokosa maelewano na mume kuchukua uamuzi wa kumtaliki mkewe. Japo kutoa talaka ni jambo la mmoja, madhara yake hakika si jambo linalobaki kwa mmoja pekee.
- Published : 2025
- Language : Swahili
- HARAKATI ZA UKOMBOZI
- Tamthiliya hii inaangazia changamoto za nchi nyingi za Afrika miaka michache baada ya kupata uhuru.
- Published : 2025
- Language : Swahili
- SPORTA, ARTS AND CRAFTS WITH ACTIVITIES STANDARD 4
- This book helps to develop key arithmetic skills in a child. Among the lessons it teaches are: Reading Skills, short vowels, long vowels, comprehension, basic tenses and comprehension.
- Published : 2024
- Language : English
- HISTORIA YA TANZANIA NA MAADILI KWA VITENDO DARASA LA 4
- Umahiri katika Historia ya Tanzania na Maadili ni kitabu kilichoandaliwa kwa kuzingatia maudhui ya Muhtasari wa 2023 wa somo la Historia ya Tanzania na Maadili kwa Kidato cha Kwanza.
- Published : 2024
- Language : Swahili
- GEOGRAPHY AND ENVIRONMENT WITH ACTIVITIES STANDARD 4
- Geography and Environment is a book that covers all the requirements of the 2023 Standard 4 syllabus. It is written in a simple and learner-friendly language that uses a competence-based approach to learning.
- Published : 2024
- Language : English
- KISWAHILI KWA VITENDO DARASA LA 4
- Kiswahili kwa Vitendo Darasa la 4 kinafundisha somo la Kiswahili kulingana na Muhtasari wa somo la Kiswahili Elimu ya Msingi kwa Darasa la 4 wa mwaka 2023.
- Published : 2024
- Language : Swahili
- SCIENCE WITH ACTIVITIES STANDARD 4
- This book thoroughly covers the requirements of the 2023 Tanzanian syllabus for Science Standard 4.
- Published : 2024
- Language : English
- CULTURE, ARTS, AND SPORTS WITH ACTIVITIES STANDARD 2
- Culture, Arts, and Sports is a book that covers all the requirements of the 2023 Standard 2 syllabus. It is written in a simple and learner-friendly language that uses a competence-based approach to learning.
- Published : 2024
- Language : English
My Cart